UMEME WA MAGARI

Umeme wa magari ni umeme unaotumika katika gari lako.

Kwenye magari kitu kinachofua au kuzalisha umeme ni betri (well cell). Ambacho ni kifaa kinachobadili chemical energy (nguvu ya madawa)ambazo zinaitwa electrolyte, hii electrolyte ni mchanganyiko kati ya distill water na surphuric na kuwa nishati ya umeme.System ya umeme katika gari

Umeme unaanzia kwenye betri na kusambazwa katika mifumo tofauti ya umeme kwenye gari kama lighting system, ignition system, starting system, na charging system

Mfumo wa kuchaji (Chaging system)

Hii hufanywa na kifaa ambacho kinachozalisha umeme kwenye magari ambacho ni aotonetor ambayo ni AC generator. Pia mi kifaa kinachobadili nguvu ya mekanikali kuwa nishati ya umeme kwa lengo la kuchaji betri

Mfumo wa taa (lighting system)

Huu ni mfumo ambao upo katika gari. Mfumo huu huwa na sakiti mbali mbali za taa tofauti tofauti kwa ajili ya mwanga na maelekezo (indication) mbali mbali.Mfumo wa kuwasha gari (Starting circuit)

Huu ni mfumo uliopo katika gari amabao hufanya kazi ya kuanzisha gari kwa kutumua kifaa kiitwacho      ( Stater Motor ) ambacho kazi yake ni mzunguko wa engine. (Engine rotation).

Mfumo wa ignation (ignation system)

Huu ni mfumo unaowezesha kukuza kutoka 12volts mpaka 18000 volts ili kusaidia kurushwa kwa cheche kwenye spark plug

Umeme wa magari unaundwa na vitu gani?

Umeme wa magari una vitu kama

Betri –Hiki ni kifaa kinachobadili nguvu ya kemikali kuwa nguvu ya umeme ambayo ndio chanzo cha umeme katika gari.Stata Box- Hii huanzisha mzunguko wa injini kw akupokea umeme moja kwa moja kutoka kwenye betriContol Box- Hiki ni mfumo wa komputa ambayo hupokea taarifa kutoka kwenye senseAltanetor- Hiki ni moja wapo wa vifaa katika mfumo ambacho kinachaji betriFuse box- Hichi ni kifaa ambacho kinakusanya tuzi mbalimbali katika gari ambapo fuzi hizo hulinda sakiti na shotiSwitchi- Hivi ni vifaa ambavyo huruhusu au kutokuruhusu umeme kupita katika sakiti kwa mfano ignition circuitStarter Motor- Kazi yake ni kuanzisha mzunguko wa injini  (engine rotation)Fuzi Box- Hiki ni kiafaa ambacho kimebebea fuzi za sakiti mbalimbali za umeme.Aina za taa katika gari na kazi zakeHead Lamp- Hizi ni taa katika gari amabazo hutumika kumulika wakati wa giza, kuna aina mbili za mwanga katika hii taa amabazo ni High Beam yenye mwanga mkali na (Low beam) yenye mwanga mdogo .Indicator Lamp-  Hii husaidia kumuonyesha mtumiaji wa gari upande anao elekea hasa wakati anapokata konaInterior Lamp- Hizi ni taa ambazo zinakuwa ndani ya gari kuleta mwanga ndani pindi mtumiaji wa gari anapouhitajiDash board Lamp – Hizi ni taa mabazo zipo katika dashboard na husaidia kuonyesha alama zote katika dash bodiBreak Lamp- Hizi ni taa amabazo husaidia kutoa taarika kwa mtumiaji mwingine wa gari kwamb gari linataka kusismamaPack Lamp- Hizi ni taa amabzo mara nyingi huwa zinashea na break lamp ambazo huwa na double filament na huwa  ma mwanga hafifu.Reverse Light- Hizi ni aina za taa mabazo hutumika kuonyesha kwamba gari inarudi nyumaPlate Number light- Hii ni ainaya taa ambayo hutumika kuona namba za usajiri za gari wakati wa usiku.Dash board na saini zakeIndicator Sign

Hizi ni saini ambazo zinamjulisha dereva kuwa amewasha indiketa ya upande upi

Altenator Warning Light

Hii inasaidia kuonyesha kama kwenye autoneta kuna tatizo na kwamba haichaji betri

Injini Check Light

Hii hutoa taarifa kwa erdva kwamba kwenye injini kuna matatizo

Engine Gauge

Hii husaidia kutoa taarifa kama kwenye injini kunamatatizo.

Speed Meter

Hii husaidi kumuonyesha dereva spidi ya gari

Alama ya kufunga mkanda

Hii ni alama inayowaka ili kumtaarifu dereva kwamba kuna siti amabayo abiria  hajafunga mkanda.

Saini Ya milango

Hii ni saini ambayo huonyesha kama kuna milango amabyo haijalokiwa. A mbapo ukiloki unakuwa ume disconnect ilea lama ina zima katika dashbodi.

Vifaa vinavyotumika kupima umemeDiagnosis

Hiki ni kifaa kinachotumika kuangalia na kutambua matatizo mbalimbali katika gari bila hata ya kufungua vifaa, na pia mashine hii inauwezo wa ku rekebisha baadhi ya matatizo na kukupa code zinazoweza kukurahisishia kutatua tatizo bila ya kuumiza kichwa kwa kufikiria.

Tester

Hiki ni kifaa kinachotumika kupima mwenendo wa umeme. Pia inaweza kukurahisishia kujua kama umeme unafika mahali flani au lah.

Volte Meter

Hiki  ji kifaa kinachotumika kupima volteji yani presha inayosukuma umeme.

OHM’S Meter

Hiki ni kifaa  kinachotumika kupima ukinzani katika gari yani rezistensi

Ampere Mita

Ni kifaa kinachotumika kupima mzunguko wa umeme

Battery Tester

Hii husaidia kupima kama gari linachaji na kama  imekufa au nzima

Vifaa vinavvyotumia Umemem katika gariRadioHoniSaiti MiraWaipaPower WindowLampsEarth Katika gari ina kazi gani?

Inatumika kukamilisha sakinti na inafungwa katika bodi

Natural Wire NI NINI?

Huu ni waya ambao unakuwa sio hasi wala sio chanyayaani haujabeba umeme

Red wire ni ipi?

Huu ni waya unaotumika kupeleka moto kutoka kwenye betri na ni waya chanya.

Sababu za gari kutokujichajiRegulator kuto ku zuia umeme vizuriKuisha kwa brashiKuharibika kwa diodesSakiti iliyo wazi katika stator winding (stata coil)Ignition switch

Hii ni switch ambayo huruhusu umeme kutoka kwenye betri kwenda katoka sakiti tofauti tofauti

Stator Motor

Ni kifaa kinachoanzisha mzunguko wa injini ambapopinion inaenda kushikana na meno ya wheel

Distributor

Inagawanya umeme katika kila spark plug ili kufanya milipuko  katika combination chamber

Spark Plug

Hiki ni kifaa kinachopokea umeme kutoka kwenye distributer na kupeleka katikaa conversion chamber.

Transistor

Hutumika kama switch alter vile vile hutumika kukontrol  voltage ambayo ndani yake kuna rezista.

Power Vindow

Hii hutumia mota ambayo inaweza kupandisha vioo juu na kushusha chini

Wipers

Nazo vile vile hutumia mota ambayo inawezesha ku move kwa hizo wiper

Relay

Hii ni eletro magnetic switch ambayo inapunguza ukinzani katika sakiti

Altenator

Hii hufanya kazi ya kuchaji betri

Ignation coil

Huu hutumika kurusha cheche ambazo huongeza voltage

ALAMA KATIKA GARI

Alama yenyewe inakuwa inalia; Sytem yake ni kwamba ina sensi mguso kwamba kuna mtu kagusa gari na vile vile alamu inakuwa imesetiwa.

Comments

  1. Nini husababisha mwanga wa taa za gari kuwa hafifu.Gari yangu inatatizo hilo.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Zipo sababu kubwa mbili
      1.waya kuongeza ukinzani kutokana na kukatika au

      2. Kutu sehemu ya taa

      Delete
    2. Kitu gani gari kuzima gafla wakati ukiwa safari

      Delete
  2. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

Mfumo wa Upoozaji Engine ya Gari. (Car Cooling System)

JINSI YA KUJIFUNZA UDEREVA WA MAGARI